Job Overview
Employer: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Advert reference: Ajira #13410
Role: MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UANDAAJI WA CHAKULA (FOOD PRODUCTION)
Open posts: 5 positions
Published: 22 March 2026
Deadline: 04 April 2026
Salary scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam; vii. Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali;
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya ‘’Food Production’’ kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
How to Apply
Submit your application through the official Ajira Portal. Use the advert reference above if the portal opens at the vacancies list.
