Job Overview
Employer: MDAs & LGAs
Advert reference: Ajira #13520
Role: DAKTARI WA UPASUAJI WA KINYWA NA MENO II (DENTAL SURGEON GRADE II)
Open posts: 10 positions
Published: 13 June 2026
Deadline: 26 June 2026
Salary scale: TGHS E
Duties and Responsibilities
- Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa ya kinywa na meno.
- Kutoa na kusimamia elimu ya afya ya kinywa na meno.
- Kuboresha afya ya kinywa na meno katika eneo lake la kazi na jamii.
- Kuziba/kukarabati meno, upasuaji, utengenezaji wa meno, kurekebisha mataya (orthodontics).
- Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.
- Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa.
- Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyopo eneo lake la kazi.
- Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo.
- Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake.
- Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya ya kinywa na meno.
- Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya.
- Kutoa huduma za outreach katika wilaya/mkoa wake.
- Kutunza takwimu na kuzitumia kama inavyoelekezwa katika misingi ya MTUHA.
- Kupanga na kutathimini huduma za afya ya kinywa na meno katika eneo la kazi.
- Kufanya utafiti katika maeneo mbali mbali ya afya ya kinywa na meno.
- Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.
Qualifications
Kuajiriwa wenye shahada ya udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali waliomaliza “Internship” na kusajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika.
How to Apply
Submit your application through the official Ajira Portal. Use the advert reference above if the portal opens at the vacancies list.
