Skip to content
JOBS OPPORTUNITIES May 20, 2026

MWALIMU DARAJA LA III B – (ELIMU MAALUM) at MDAs & LGAs

May 20, 20261 min read

Job Overview

Employer: MDAs & LGAs

Advert reference: Ajira #13310

Role: MWALIMU DARAJA LA III B – (ELIMU MAALUM)

Open posts: 7 positions

Published: 22 March 2026

Deadline: 04 April 2026

Salary scale: TGTS C

Duties and Responsibilities

  1. Kuandaaazimiolakazi,maandalioyamasomo,nukuuzamasomona Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
  2. utengenezanaKufaraghuazanazakufundishianakujifunzia;
  3. Kufundisha,kufanyaTathimininakutunzakumbukumbuzaMaendeleoya Wanafunzi;
  4. KusimamianakufuatiliamahudhurioyawanafunziShuleninaDarasani;
  5. KusimamiamaleziyawanafunziKiakili,Kimwili,Kirohonakutoaushauri nasaha na unasihi;
  6. Kutoaushauriwakitaalamunakitaalumakuhusumaendeleoya Elimu;
  7. Kusimamianautunzajiwavifaanamalizashule; na
  8. KazinyingineatakazopangiwanaMkuuwaShulekulingananamajukumuya Shule.

Qualifications

Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha nne/sita ambaye amefaulu masomo mawili au zaidi yanayofundishwa shuleni na kufaulu mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu Maalum kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.

How to Apply

Submit your application through the official Ajira Portal. Use the advert reference above if the portal opens at the vacancies list.

About the author